Friday, January 25, 2013

T unawatakia kwa pamoja heri katika utumishi kwenye shamba la Bwana, viongozi wote wapya.

Mwenyekiti wa Thisdaso Mzumbe(kulia) ndg. Mujaya Mujaya, kulia ni Upendo Mlengu Kaimu Mwenyekiti wa Thisdaso Mzumbe.