Monday, December 17, 2012

Habari wapendwa na ndugu katika Kristo? nawasalimu kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo.
Napenda kuwashukuru sana THISDASO MZUMBE na MARAFIKI zetu kwa kujitoa kwenu katika kufanikisha kazi ya Mungu kwa mioyo na zaidi kwa michango yenu mhimu sana. Sasa baada ya kutoka katika Effort na sabato ya wageni, Mungu anatuongoza katika Video recording ya kwaya yetu na Effort Kubwa sana kipindi cha likizo ya February. Hivyo natumia tena nafasi hii kuwasihi kutoa michango yenu kama ambavyo Roho wa Mungu amekuwa akiwaongoza ili kuendeleza kazi yake.
Upatapo habari hii, tafadhali shiriki baraka za Mungu kwa kumwambia na mwenzako.
BWANA akubariki sana.
Mujaya MJ, Mwenyekiti wa tawi.

No comments:

Post a Comment